Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ndg. Juma Mkomi akifungua Kikao cha Tatu cha Baraza la Nane la Wafanyakazi la Wizara ya Katiba na Sheria, kinachofanyika kwa siku mbili tarehe 9 na 10 Oktoba, 2025 katika Ukumbi wa OSHA jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Maswi akichangia jambo wakati wa Kikao cha Tatu cha Baraza la Nane la Wafanyakazi la Wizara ya Katiba na Sheria, kinachofanyika katika Ukumbi wa OSHA jijini Dodoma tarehe 9 na 10 Oktoba, 2025, kwa lengo la kujadili mambo mbalimbali yatakayoboresha utendaji kazi wa Wizara ili kusaidia kutoa huduma bora kwa wananchi.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Franklin Rwezimula akichangia jambo wakati wa Kikao cha Tatu cha Baraza la Nane la Wafanyakazi la Wizara ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Osha Jijini Dodoma Oktoba 9 na 10, 2025.
Wakurugenzi wa Idara na wakuu wa vitengo mbalimbali wakishiriki Kikao cha tatu cha Baraza la Nane la Wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria kinachofanyika katika Ukumbi wa OSHA Jijini Dodoma, Oktoba 9 na 10, 2025
Wakurugenzi wa Idara na wakuu wa vitengo mbalimbali wakishiriki Kikao cha tatu cha Baraza la Nane la Wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria kinachofanyika katika Ukumbi wa OSHA Jijini Dodoma, Oktoba 9 na 10, 2025
Washiriki wa Kikao cha Tatu cha Baraza la Nane la Wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiendelea na kikao katika ukumbi wa OSHA Jijini Dodoma, Oktoba 9, 2025