Wananchi mkoani Singida wakipata Huduma za Msaada wa Kisheria wakati wa Kliniki ya Huduma za Msaada wa Kisheria iliyofanyika kwa siku mbili mkoani humo, ikiwa ni sehemu ya ziara ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, Januari, 2026
Wananchi mkoani Singida wakipata Huduma za Msaada wa Kisheria wakati wa Kliniki ya Huduma za Msaada wa Kisheria iliyofanyika kwa siku mbili mkoani humo, ikiwa ni sehemu ya ziara ya Waziri wa Ktiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, Januari, 2026
Wananchi mkoani Singida wakipata huduma za Msaada wa Kisheria kutoka kwa wataalam wakati wa Kliniki ya Huduma za Msaada wa Kisheria iliyofanyika mkoani humo kwa siku mbili ikiwa ni sehemu ya ziara ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Chacha Maswi (kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka wakibadilishana Hati za Makubaliano ya Ushirikiano wa utekelezaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria kwa Umma, Januari 8, 2026, Mtumba jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Chacha Maswi (kushoto) na Afisa Mtendaji Mkuu wa LSF Bi. Lulu Ng''wanakilala wakisaini Hati za Makubaliano ya Ushirikiano wa utekelezaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria kwa Umma, Januari 8, 2026, Mtumba jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Eliakim Chacha Maswi akifurahia jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa LSF Bi. Lulu Ng''wanakilala baada ya kusaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Utekelezaji wa Huduma za Msaada wa Kisheria kwa Umma, 8 Januari, 2026, Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, akifungua rasmi Kliniki ya Msaada wa Kisheria mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa masuala mbalimbali wakati wa ziara yake ya siku mbili (5 & 6 Januari, 2026 mkoani humo.
Wananchi mkoani Morogoro wakiendelea kupata Huduma za Msaada wa Kisheria kutoka kwa wataalam wakati wa Kliniki ya Huduma za Msaada wa Kisheria iliyofanyika 5 & 6 Januari, 2026 katika viwanja vya stendi ya zamani.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Maswi (kulia) akipokea baadhi ya vifaa vya TEHAMA kutoka kwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angela Kairuki, hafla ya makabidhiano ya vifaa hivyo imefanyika leo 15 Disemba, 2025 Mtumba jijini Dodoma.
Picha ya pamoja ya ujumbe wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ukiongozwa na Waziri Mhe. Angela Kairuki (katikati) pamoja na ujumbe wa Wizara ya Katiba na Sheria ukiongozwa na Katibu Mkuu, Ndg. Eliakim Maswi (wa pili kulia) baada ya kupokea vifaa vya TEHAMA vilivyotolewa na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa lengo la kuimarisha mfumo wa upatikanaji haki nchini.