Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, akizungumza na wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara, Menejimenti na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria, mara baada ya kupokelewa na kukabidhiwa ofisi rasmi, Mtumba jijini Dodoma, 18 Novemba 2025.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Chacha Maswi, akitoa neno la ukaribisho kwa Waziri na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria (hawapo pichani) mara baada ya viongozi hao kuwasili na kupokelewa katika ofisi za Wizara zilizopo Mtumba jijini Dodoma, 18 Novemba, 2025
Picha ya pamoja, Viongozi wa juu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Waziri Dkt. Juma Zuberi Homera (wa pili kulia) Naibu Waziri, Mhe. Zainab Athuman Katimba (wa tatu kulia), Katibu Mkuu, Ndg. Eliakim Chacha Maswi (wa kwanza kulia) na Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Franklin Jasson Rwezimula (wa kwanza kushoto) mara baada ya Waziri na Naibu Waziri kuwasili rasmi katika ofisi za Wizara, Mtumba, 18 Novemba, 2025.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuberi Homera (katikati) na Naibu Waziri Mhe. Zainab Athuman Katimba wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara na Menejimenti ya Wizara ya Katiba na Sheria mara baada ya kupokelewa rasmi katika ofisi za wizara zilizopo Mtumba jijini Dodoma, 18 Novemba, 2025
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Novemba 14, 2025 Dodoma.
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Novemba 14, 2025 Dodoma.
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Novemba 14, 2025 Dodoma.
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Novemba 14, 2025 Dodoma.
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Novemba 14, 2025 Dodoma.
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Novemba 14, 2025 Dodoma.