Finance and accounts unit Internal audit unit Government Communication Unit Information and Communication Technology Unit Administration and human resources management division Policy and planning division Procurement management unit Public legal services division Organisational Structure
  • Kiapo Waziri Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe (MB) akipongezwa na Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa kuongoza Wizara ya Katiba na Sheria, Ikulu, Jijini Dar-Es-Salaam. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Karani wa Baraza la Mawaziri Bw. Gerson Mdemu.
  • kuapa waziriNaibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angela Kairuki (MB) akiapa mbele ya Rais Jakaya Kikwete Ikulu, Jijini Dar-Es-Salaam. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Karani wa Baraza la Mawaziri Bw. Gerson Mdemu.
  • Waziri OfisinWaziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe (MB) (kushoto), Naibu Waziri Mhe. Angela Kairuki (MB)(kulia) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi ya Umma Mhe. Celina Kombani wakifurahi mara baada ya kuapishwa kushika nyadhifa zao Ikulu, Dar-Es-Salaam.
  • Majengo Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe (MB) (watatu kutoka kushoto waliokaa), Katibu Tawala Mkoa wa Dar-Es-Salaam Bi. Theresia Mmbando, Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Bw. Philip Saliboko na wadau wengine katika uzinduzi wa Mpango wa Usajili wa Watoto Wenye Umri Chini ya Miaka Mitano uliofanyika Jijini Dar-Es-Salaam.
  • Ufunguzi wa jengoKatibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kulia) akimkabidhi funguo za jengo la Ofisi mpya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Celina Kombani (MB).
  • Jaji Mkuu Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Chande Othman akitembelea Maonesho ya Utumishi wa Umma jijini Dar es Salaam.
  • Kugawa Katiba Wakili wa Serikali Bi. Beatrice Mdawa akiwakabidhi nakala za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) wanafunzi wa Shule ya Sekondari Saviac ya Dar es Salaam walipotembelea ofisi za Mkurugenzi wa Mashtaka kujifunza mambo mbalimbali.
  • KM Mbonde Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde akitoa maelekezo katika eneo la ujenzi wa majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania.
  • Ben Mushi Bw. Ben Mushi, Mwakilishi wa Msimamizi wa ujenzi wa Majengo ya kudumu ya Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania akitoa maelezo kwa wajumbe wa Bodi ya Zabuni ya Wizara ya Katiba na Sheria waliotembelea eneo la ujenzi.
Kiapo waziri8 Kugawa Katiba 27 Kugawa Katiba 16 KM Mbonde LST 34 Kugawa Katiba 27 Jaji Mkuu 1 Kugawa Katiba 5 KM Mbonde LST 12 KM Mbonde LST 23
Free HTML Gallery Code by WOWSlider.com v2.1.3
Welcome
KNIGHT ONLINE brazzers pornosextubepornpornowatch pornbed porndry sexsex videosporn sexfree girl pornsexesikisporno izlesikisporno izleporno izlesikiswatch pornbed porndry sexsex videosporn sexfree girl pornsexe

Welcome to the Website of The Ministry of Constitutional and Legal Affairs where you can read and download the constitution of the United Republic of Tanzania of 1977 in Kiswahili and English language.

The President issued a Notice on assignment of Ministerial Responsibilities (Instruments) vide Government Notice No.20 of February, 2008. This assignment of responsibilities and functions was a creation of the second Cabinet in the Fourth Phase Government. In that functional and structural change, the Ministry of Constitutional

Affairs and Justice was separated from the Attorney General's Office
The Attorney General's Office is now an Independent Department like the Law Reform Commission; Human Rights and Good Governance Commission; Judiciary and Judiciary Service Commission. All these Independent Departments continue to be serviced by the MoCLA on all policy issues including Laws Regulations in accordance with existing laws and practices.

E-Notice Board
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (MB) wakati akifungua Kongamano la "Taking The Tanzanian Constitutional Reform Process Forward"
17th May, 2012 Hotuba ya Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (MB) wakati wa ufunguzi wa Kongamano la "Taking The Tanzanian Constitutional Reform P
- GCUNIT
Deputy Minister for Constitutional and Legal Affairs Hon.Angellah J.Kairuki (MP) launching the Legal Services Facility
17th May, 2012 Speech by the Deputy Minister For Constitutional and Legal Affairs Hon. Angellah Kairuki (MP) at the Launch of the Legal Services Facility (LSF) at th
- GCUNIT
Waziri Chikawe leo amefungua Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Morogoro.
17th May, 2012 Hotuba ya Mhe. Mathias M.Chikawe (MB), Waziri wa Katiba na Sheria wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria.
- GCUNIT
Photo Gallery